Swali
Frankie Fredericks, mwanariadha wa zamani wa Namibia, hivi majuzi alichaguliwa kuhudumu kama mwanachama wa Shirikisho la Kimataifa la Mashirikisho ya Riadha (IAAF). Akijipambanua ndani na nje ya uwanja wa riadha - Fredericks ndiye mwanamibia pekee aliyepata ...